Tuesday, 17 March 2015

JUST FOR LAUGHS

By Unknown   Posted at  12:50   Entertainment

Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba, basi la Mash lenye namba za usajili KCA 468D lililokuwa likitokea Nairobi kwenda Mombasa likiwa na abiria 65, majira ya saa nane mchana lilisimama maeneo ya Mtito Andei na abiria wote kushuka, kupata chakula cha mchana kisha wakaendelea na safari.
Sio kila siku taarifa za majanga tu, unashangaa nini sasa? Hebu pasha kwa rafiki yako.

Back to top ↑
Connect with Us

What they says

© 2013 Dark Skin Africa. WP Mythemeshop Converted by Bloggertheme9
Blogger templates. Proudly Powered by Blogger.